Quantcast
Channel: Mdimu's Blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1295

33 wafariki kwenye ajali ya treni DRC

$
0
0

Radio ya umoja wa mataifa nchini DRC imesema takriban watu 33 wamefariki katika ajali ya treni.

Ajali hiyo imetokea katika mji wa Buyofwe Kusini mwa jimbo la Lualaba.

Taarifa kutoka Radio Okapi zinasema treni hiyo ilianguka kisha kuwaka moto.

Gavana wa jimbo la Lualaba Richard Muyej ameiambia BBC kwamba kuna ajali iliyotokea lakini haifahamiki ni watu wangapi waliofariki.

- BBC Swahili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1295

Trending Articles