Quantcast
Channel: Mdimu's Blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1295

Maiti za waliofariki kwenye ajali ya ndege Colombia kuwasili Brazil

$
0
0
Ajali hiyo ilingamiza karibu timu yote ya ChapecoenseMiili 71 wa watu walioangamia kwenye ajali ya ndege nchini Colombia ambayo pia timu ya kandanda ya Brazili iliangamia zinarejeshwa nyumbani.
Zaidi ya watu 100,000 wanatarajiwa kujitokeza katika ibada ambayo itafanyika kwenye uwanja wa michezo wa Chapeco mara baada ya miili hiyo kuwasili nchini brazil.
Ni watu 6 walionusurika kwenye ajali hiyo iliotokea  siku ya Jumatatu.


Ibada itafanyika uwanja wa ChapecoImage copyright
Image cap

Rais wa Brazil Michele Temer atatoa ndege ya kijeshi ambayo itabeba maiti hizo.
Bwana Temer anatarajiwa kuwapa tuzo katika sherehe katika uwanja wa ndege wa Chapeco -nyumbani kwa wachezaji hao, Kusini mwa Brazil.
chanzo:bbc

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1295

Trending Articles